
HABARI MBAYA KWA WAHIFADHI Wanyama aina ya Nyati nane (8) wamegongongwa na gari aina ya Fuso katika hifadhi ya Taifa Mikumi leo Hii ni mbaya sana maana barabara imepita hifadhini na sioni sababu ya hiyo barabara kupitishwa humo maana kila siku kila mwaka wanyama wanagongwa lakini uongozi wa hifadhi hiyo sioni kama unashughulikia hii mambo. kwa nini hii barabara isitolewe hifadhini ipite kwingine hii mamlaka husika ziwajibike hatuwezi kuwa tunapoteza wanyama wengi bila sababu za msingi Ni hayo tu
Published with Photo Blogger for Windows Phone.
No comments:
Post a Comment